IBADA YA NJIA YA MSALABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • Hii ni ibada nzima ya njia ya msalaba, inayoadhimishwa kila Ijumaa katika kipindi cha Kwaresma. Uwapo wake katika mtandao utawasaidia wale wasioweza kuhudhuria kanisani au katika vituo maalumu vya ibada kutokana na maradhi, safari, majukumu ya kimaisha, walioko vitani na hata wafungwa, kushiriki ibada nzima kwa utulivu mkubwa. Mungu awabariki wote

Комментарии • 127

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 Год назад +5

    KITUO CHA PILI.
    Yes anapokea msalaba.
    -Ee Yesu, tunakuabudu, tunakushuru.
    -Kwa kuwa umewakomboa watu kwa msalaba mtakatifu.
    Yesu anakubali kuelemewa na msalaba kwa ajili ya wokovu wa watu. Ndivyo anavyonifundisha moyo wa sadaka, moyo wa kujitolea na kujisahau kwa ya wengine.
    Ee Yesu wangu mkarimu, mimi pia ninao msalaba wangu; jirani zangu, mwezangu wa ndoa, watoto, wazazi wangu, kazi zangu, joto, baridi, njaa, kiu, vishawishi, magonjwa na matatizo mengine ya maisha, wajibu wangu kwa Mungu, kwa Umma na kwa Kanisa, Hayo yote in msalaba. Unipe ukarimu wako ee Yesu, niyapokee bila ya kunung'unika, na kuyabeba vema.
    Baba yetu..................
    Salamu Maria...........
    Atukizwe Baba na....
    K.Ee Bwana, Utuhurumie...............
    W.Utuhurumie..........
    Roho za waumini wapate rehema kwa Mungu, wapumzike kwa amani. Amina.
    Ona muumba mbingu na nchi yupo chini mzingo wamwelemea na mtu kiumbe chake kwa ukali Ampiga, ampiga bila huruma

  • @bellawakiorose6662
    @bellawakiorose6662 14 дней назад

    Glory and Thanks to God for this ....May the Fasting Christ meet us at our place of need...

  • @Elizabeth-sb6hg
    @Elizabeth-sb6hg Год назад +2

    Ee yesu wangu uniimarishe kwan nko kweye inchi isio na wakristo nisaidie ee yesu wangu na unipiganie mana nisukukosuko ni mingi

  • @sammyomolo5026
    @sammyomolo5026 24 дня назад +2

    Na muombea mama Margret Auma Omolo a weze kupata uponyaji wa macho yake.

  • @otreymaiko7703
    @otreymaiko7703 Год назад +1

    Ee yesu mwema usimamie njia zetu za maisha na utupe moyo wa kurudi kwako pale ambapo dunia imekua imetuficha

  • @LaurenciaMarco
    @LaurenciaMarco 27 дней назад +1

    Ee yesu wangu naomba hunisamehe makosa yangu amen

  • @frolencesimchile4719
    @frolencesimchile4719 Месяц назад +1

    najivunia kuwa mkatoliki, asanteni sana dada zetu kwa kututafakarisha.

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 26 дней назад

    Asante sana Mungu wangu nimeweza kusali kanisani na nyumbani .
    Nimeweza kuendelea kufanya Toba ya kweli

  • @muenimungoloti6569
    @muenimungoloti6569 Год назад +1

    I feel much blessed, thanks for coming up with an alternative for those of us who are committed

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 Год назад

    KITUO CHA NANE.
    Akina mama wanamlilia Yesu.
    -Ee Yesu tunakuabudu tunakushukuru
    - Kwa kuwa umewakomboa watu kwa msalaba wako mtakatifu.
    Asanteni sana akina mama kwa moyo wenu wa huruma.
    Ee Yesu uliyetulizwa na wanawake, unripe moyo wa kuwaheshimu akina mama wote. Uwaite na wasichana wengi waingie utawa, ili watulize Moyo wako Mtakatifu kwa sala na sadaka zao.
    Baba yetu..................
    Salamu Maria...........
    Atukuzwe Baba na...
    K.Ee Bwana, utuhurumie...............
    W.Utuhurumie..........
    Roho za waumini wapate rehema kwa Mungu, kwa amani. Amina.
    Mwokozi sasa ni ya tatu Waanguka chini ya msalaba Katika dhambi za uregevu Nijue, nijue kutubu hima.

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 Год назад

    KITUO CHA NNE.
    -Ee Yesu tunakuabudu, tunakushukuru
    -Kwa kuwa umewakomboa watu kwa msalaba wako mtakatifu.
    Wote wawili mama na mwanawe wanaumia moyoni kwa ajili ya dhambi zangu.
    Ee Yesu, Mwana wa Maria, unitilie moyoni mwangu upendo na Ibada kwa Bikira Maria, unijalie na ulinzi wake, nisitende dhambi tena.
    Baba yetu..................
    Salamu Maria...........
    Atukuzwe Baba na...
    K.Ee Bwana, utuhurumie...............
    W.Utuhurumie..........
    Roho za waumini wapate rehema kwa Mungu, wapumzike kwa amani. Amina.
    Kwa simon heri ya kweli Mimi pia Yesu nisaidie kuchukua mzigo wa ukombozi Kuteswa, kuteswa pamoja naye.

  • @sammyomolo5026
    @sammyomolo5026 24 дня назад

    Nawa ombea marehemu wote wa familiar yangu ma ukoo.warehemu mungu wangu.

  • @roseojunga2802
    @roseojunga2802 3 года назад +4

    Nashkuru Mungu nimesoma njia ya msalaba nikiwa 🇸🇦 najivunia kuwa mkatholic Mungu nipe moyo kama ya mwanao niweze ku ubeba msalaba wangu AMINA

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 Год назад

    KITUO CHA TISA.
    Yesu anaanguka mara tatu.
    -Ee Yesu tunakuabudu, tunakushukuru
    -Kwa kuwa umewakomboa with kwa msalaba wako mtakatifu.
    Ee Yesu unayezidi kudhoofika kwa mateso unaanguka mara ya tatu, upate Kunistahilia neema ya kuutiisha mwili Wangu name kuusulibisha, licha ya kuepuka nafasi za dhambi.
    Mara ngingi mno ninajibovusha kwa kupenda mno starehe, na tafrija. Ee Yes .wema, nisaidie kuufuata mfano wa mtakatifu Paulo, niutese mwili wangu na kuutumikisha, ili nipate siku moja tuzo mbinguni.
    Baba yetu..................
    Salamu Maria...........
    Atukuzwe Baba na...
    K.Ee Bwana, utuhumie...................W.Utuhurumie..........
    Roho za waumini wapate rehema kwa Mungu, wapumzike kwa amani. Amina.
    Muje malaika wa mbingu Funikeni mwiliwe kwa huruma Vidonda vyake na utupu Askari, askari wamemvua.

  • @nakukipokolo9407
    @nakukipokolo9407 3 года назад +3

    Ee Yesu mwema, kwa ajili ya mateso yako, tusaidie kuzizika dhambi zetu zote na ubaya ulioko ndani ya mioyo yetu ili kwa nguvu ya ufufuko wako, tuweze kupata mabadiliko ya kweli ya mioyo na kuchukua hatua za kukufuata kwa dhati

  • @msuyawamsuya900
    @msuyawamsuya900 5 лет назад +47

    Hakika hii ni zaidi ya bahati sana kuwa na ibada hii yote katika video moja tu. Hii itawasaidia wengi sana kushiriki hata kama wako kwenye mazingira yasiyoruhusu

  • @obaraalfred
    @obaraalfred 3 года назад +2

    Ee bwana Yesu Christo naomba ufufuke nami. Maria Mtakatifu mama wa Mungu niongoze kwa mwanao

  • @jannetmtey
    @jannetmtey 6 месяцев назад

    Ee yesu wangu umepata mateso kwa ajili yetu na yote hayo kwa ajili yakutukomboa,naomba unikomboe kwani misukosuko ni mingi.

  • @gigwajidendei1940
    @gigwajidendei1940 5 лет назад +5

    Wapendwa katika kiristo napenda kuwakumbusheni kuwa katika kipindi hiki cha kwarezma tutubu makosa yetu na tuweze kumrudia mwenyezi Mungu nawatakieni kwarezma njema

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 4 года назад +8

    Najivunia ukatoliki wangu,,nasadiki kwa kanisa moja katoliki la mitume😘😘🙏🙏

  • @msuyawamsuya900
    @msuyawamsuya900 5 лет назад +12

    Hongereni sana FAHARI YA MKATOLIKI

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 2 года назад +3

    Amen asante kwa kusali pamoja njia ya msalaba

  • @hildamutola555
    @hildamutola555 Год назад +1

    If you here in 2024 easter.. Happy Easter
    Lord have mercy on us

  • @Heresjos-Random
    @Heresjos-Random Месяц назад

    Aksanti

  • @Eva-f4n
    @Eva-f4n 7 месяцев назад

    Baba uturehemu sis wadhambi

  • @ankosir2112
    @ankosir2112 Месяц назад

    ❤❤❤

  • @victoriakiwanuka5428
    @victoriakiwanuka5428 Год назад

    Nashukuru kwa sala ya njia ya Msalaba imetusaidia wengi ambao hatukushiriki Kanisani.Mungu awabariki 🙏

  • @euphrasiatelwa6756
    @euphrasiatelwa6756 21 день назад

    Asante kwa sala hii

  • @asangostephen9122
    @asangostephen9122 4 года назад +1

    Ee yesu ninaomba kwawema wako utusamehe dhambi zetu mimi na familia yangu utuoshe na damu yako iliomwagika msalabani.

  • @judykwoba9024
    @judykwoba9024 Год назад

    Umetusaidia Sana Kwa hii salary Kwa kuwa Sisi wengine tumefungiwa na KAZI Hadi haturuhusiwi kwenda inje siku ya Leo ubarikiwe sana

  • @ReneeGust-j9g
    @ReneeGust-j9g 6 месяцев назад

    Garland Greens

  • @nakukipokolo9407
    @nakukipokolo9407 3 года назад +1

    Kwa ajili ya Madonda yako mtakatifu, utupatie msaada tunaohitaji kama famili

  • @HeldaX
    @HeldaX Год назад

    Hakika nimepata balaka kubwa sana leo asante sana Mwenyez Mungu akujalie ili uendelee kuineza injili bila kuchoka

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 2 года назад

    Bwana unihurumie🙌🏻🙌🏻🙌🏻nisitende dhabi tena🤲🏼🤲🏼🤲🏼

  • @odiliakalisti2034
    @odiliakalisti2034 5 лет назад +6

    Nikiwa UAE nashiriki njia ya msalaba kwa kufwatilia Fahari ya mkatoliki Hongereni Sana

  • @monicavalentino6502
    @monicavalentino6502 4 года назад +5

    Mungu mwema awabariki mno, leo nimeweza kusali njia ya msalaba kwasababu ya Ibada Hii, Shukrani mno. Watching from Cuba, i have been blessed.

  • @WinfredGatonga-l6j
    @WinfredGatonga-l6j Год назад

    Amen 🙏🙏 najisikia niko pamoja na wengine......mungu awabariki

  • @laurianmutayoba8608
    @laurianmutayoba8608 4 года назад +1

    Msalaba uponya roho,napenda sana njia ya msalaba hunipa tafakari ya kina

  • @maishayangu9216
    @maishayangu9216 4 года назад

    Ee Mungu Mtakatifu tunakutukuza kwa wema wako, mapenzi msamaha na uaminifu wako. Ee Yesu mwana wa Mungu nawe Roho Mtakatifu katika ushirika Wa Mungu Baba, mtuhurumie, mtusamehe, na kutuhifadhi katika imani. Twawaombea wote roho za marehemu wapenzi na roho za wote zinazotezeka toharani kwa kulipia dhambi na makosa yao waliotenda uahini. Wapunguzie matezo na kuwajalia mwangaza wa uso wako na kuwapa mamlaka ya kutuombea sisi mbele zako ili na sisi tujaliwe kufika uliko wewe. Ahsante mliotuletea hii ibada. Mungu awaangazie na neema zake. Amina

  • @MorrisLewis-h3n
    @MorrisLewis-h3n 6 месяцев назад

    Alex Shore

  • @msuyawamsuya900
    @msuyawamsuya900 5 лет назад +6

    Hakika mnaakisi jina lenu.. Mnatufanya tunajisikia Fahari ya kuwa wakatoliki

  • @suemwas4143
    @suemwas4143 2 года назад

    Kazi nzuri kabisa, baraka tele 🙌

  • @Giftsweetie
    @Giftsweetie Год назад

    Mungu awabarik San kwa kutuletea tafakari ya njia ya msalaba kwa pamoja na tumeipokea kwa MOYO 🙏🙏

  • @doctaelmende399
    @doctaelmende399 2 года назад

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @RosaliaFikiri-nf8yd
    @RosaliaFikiri-nf8yd Год назад

    Amina🙏

  • @lucziamuthara4621
    @lucziamuthara4621 4 года назад +2

    Amina jesu nikumbuke katika safari ii

  • @asangostephen9122
    @asangostephen9122 4 года назад +1

    Ee yesu unirehemu na unisafishe dhambi zangu unipokee siku ya ufufuko wako.

  • @mutiepatty5727
    @mutiepatty5727 4 года назад +1

    Nimeshiriki njia ya msalaba Leo nikiwa mjini Nairobi, Kenya. Mungu nisamehe dhambi kwa kujua na kutojua maana Mimi in mdhaifu.

  • @claudiamarandu2857
    @claudiamarandu2857 2 года назад +1

    🙏🙏🙏

  • @sallygachui3191
    @sallygachui3191 3 года назад +1

    Said The Stations Cross your prayers and the prayers in my Swahili prayer book “ YOTE KWAKO EE MOYO MTAKATIFU WA YESU” Mwenywezi Mungu na awabariki muzidi kushare video za sala na pia nyimbo za kumuimbia Yesu Mona Mama Maria. Amina.✝️✝️💟💟💜💜🙏🙏🙏📿📿📿📿📿📿📿📿📿📿📿📿📿

  • @nathanngumi8467
    @nathanngumi8467 3 года назад +1

    Amina. 🙏

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 4 года назад +1

    Mwenyezi mungu awabariki watumishi wa mungu nawakatoriki wote najivunia kuwa mkatoriko tutubu zambi zetu kwa kufunga na kwarezima hii amina

  • @aikaassey6920
    @aikaassey6920 4 года назад +1

    Ameni kujiunga kusali njia ya msalaba

  • @liliannganga6245
    @liliannganga6245 2 года назад

    Inaanza lini jia ya msalaba

  • @liliansteven9697
    @liliansteven9697 3 года назад

    Sijaweza kufika kanisani leo lakn nimeweza kusali apa. Thanks

  • @georgeowiti8221
    @georgeowiti8221 3 года назад +1

    Nabarikiwa sana

  • @ekimoho87
    @ekimoho87 4 года назад +1

    Najivunia kuwa mkatoliki Mungu anibariki na kuendelea kunijaza Imani nisitetereke

  • @TheogoniaKibisa
    @TheogoniaKibisa Год назад

    Namahukuru Mungu. Kwakuniita kwenye ukatoriki

  • @dorajohn3387
    @dorajohn3387 5 лет назад +2

    Mungu awe pamoja nanyi cku zote, muendelee kutuweka karibu na uwepo wa Mungu milele na milele. Amina

  • @johnsanga7895
    @johnsanga7895 4 года назад

    Njia ya msalaba in ishara kwa wanadamu wrote duniani kwamba Bwana wetu Yesu Kristo aliyapitia Hivyo Mungu na apewe sofa Amina

  • @maureensakwa8466
    @maureensakwa8466 2 года назад

    Eeeh bwana utuhurumie

  • @veronicawanjiku8397
    @veronicawanjiku8397 Год назад +1

    Nashukuru Sana Kwa HiI Ibaada

  • @salmsalma89
    @salmsalma89 5 лет назад +2

    Amen na barikiwa sana nikiwa Omani naipata vizur

  • @lutherjr3097
    @lutherjr3097 4 года назад +1

    Amina,, na imetusaidia mno. Mungu awabariki nyote mliohusika Kwa uandalizi...

  • @nakukipokolo9407
    @nakukipokolo9407 3 года назад

    Na kuiponya familia katika maumivu haya makali

  • @LilianWanyonyi-v6d
    @LilianWanyonyi-v6d Год назад

    Asante yesu🙏🙏🙏

  • @joanopella5077
    @joanopella5077 Год назад

    Bwana utuhumie

  • @kayla6554
    @kayla6554 4 года назад +1

    Amina, Mungu anisamehe makosa yangu na anipatie afya njema

  • @livingstonemwakakonyole4910
    @livingstonemwakakonyole4910 4 года назад +1

    Amina Sana najivunia kuwa mkatoliki.

  • @maishayangu9216
    @maishayangu9216 5 лет назад +1

    This is a God sent in this very scary and desperate time of covid19. Barikiwa saaana mliotuandalia hii ibada kwa Utukufu wa Bwana Mungu wetu kupitia Mwanae Yesu Kristo. Naipata huku marekani. Nawaombea nyote kwa wakati huu mgumu! Tumshukuru Mungu pia kwa kuwezesha hii sala ya ibada ya njia ya msalaba kuweza kusambazika kwa njia hii. Najisikia nyumbani wakayi wa ujana wangu!

  • @monikaxenia5629
    @monikaxenia5629 5 лет назад +3

    Asante kwa njia ya msamaha,watching from saudi Arabia

    • @mercellinelunda3078
      @mercellinelunda3078 4 года назад

      Nimeilewa vizuri sana. Mbona yaanzia kituo cha Kumi na Tatu.

  • @deoskishima2625
    @deoskishima2625 5 лет назад +2

    Amina sana Fahari ya Mkatoliki

  • @monicabududa8314
    @monicabududa8314 3 года назад

    asanteyesu

  • @karistaweaving
    @karistaweaving 5 лет назад +2

    God forgive me my sins & pray for me🙏🙏

  • @suemwash261
    @suemwash261 2 года назад

    Lord 🙏🙏🙏 have mercy on me 🙌🙌🙌

  • @veritasndumbili3059
    @veritasndumbili3059 Год назад

    Asante sana

  • @fulugencemushi8339
    @fulugencemushi8339 4 года назад +1

    Ameen

  • @dorismnama9084
    @dorismnama9084 4 года назад +2

    Jesus is the healer of soul and body.

  • @roidafrancis6083
    @roidafrancis6083 4 года назад

    Najivunia kuwa mkatoliki

  • @alisabyozani9796
    @alisabyozani9796 4 года назад +1

    Amen 🙏

  • @beatricemacharia5134
    @beatricemacharia5134 5 лет назад +3

    God save our souls. May we be able to please you in this new world order.

  • @berniebanky3494
    @berniebanky3494 5 лет назад +2

    Hakika Mungu ni mwema.🙏🏿

  • @Bintimrembo-y1v
    @Bintimrembo-y1v 4 года назад +1

    Asante sana kwa hii

  • @martingelady5797
    @martingelady5797 5 лет назад +4

    Nitumie wasapuu ibada ya njia ya mslaba namba 0684749814

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 3 года назад +1

    Amina thank you Jesus 🙏

  • @epifaniamzena9384
    @epifaniamzena9384 5 лет назад

    Mungu akubariki sana kwa sala hii kuwa ktk mtandao. Hasa kipindi hiki kigumu cha mlipuko wa ugonjwa wa corona

    • @williammwashala9244
      @williammwashala9244 4 года назад

      Asante. Mungu atudumishe pamoja katika fahari ya mkatoliki y katoliki

  • @dianaprojestus5382
    @dianaprojestus5382 4 года назад

    Mungu awabalik san

  • @emmajohn9026
    @emmajohn9026 4 года назад

    mung azidi kuinia kipaj chenu

  • @charlespelly9810
    @charlespelly9810 Год назад

    Thanks Jesus❤

  • @bernadoloth5371
    @bernadoloth5371 5 лет назад +2

    Hakika MUNGU ni mwema kila wakati AMANI ya BWANA IWE NANYI

  • @rosebeauty700
    @rosebeauty700 5 лет назад

    💓💓💓💓💓💓❤️

  • @fredybwaifrednand4888
    @fredybwaifrednand4888 3 года назад +1

    Thank you my Lord jesus..

  • @lilianmngulwi7119
    @lilianmngulwi7119 5 лет назад

    Amina.

  • @anniekidaha3844
    @anniekidaha3844 5 лет назад

    aminaaa

  • @PShayo-or3ox
    @PShayo-or3ox 5 лет назад

    Amina

    • @geoffreylunyungu5665
      @geoffreylunyungu5665 5 лет назад

      Amen

    • @marystellah3245
      @marystellah3245 3 года назад

      Mungu awabarik njia ya msalaba imekuwa faraja kwaku hasa ktk kipind hiki kigumu ninachopitia .Ee YESU kwa kupigwa kwako sisi tumepona naomba univushe katika haya magumu amina

  • @stellamariskiio557
    @stellamariskiio557 2 года назад

    Thank you Jesus 🙏

  • @mashaurithomas3164
    @mashaurithomas3164 5 лет назад +1

    Blessings 🙏

  • @chrismarijani
    @chrismarijani 4 года назад

    usitupe.... au ..utupe leo mkate wetu kila siku nafikiri matamshi ktk kipengele cha sala kuu ya Baba yetu mmechanganya

    • @johnmahenge2717
      @johnmahenge2717 2 года назад

      Mpendwa Chris ,,,utupe Leo mkate wetu wa Kila siku amina,,,

  • @BerthaNjerekela
    @BerthaNjerekela Год назад

    Najivunia kuwa mkatoli

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 4 года назад +1

    Ameen